* Matukio yote utayapata kupitia blog hii ya www.mwana wa Afrika.blogspot.com na hapa ni Part 2
Jamaa wamekaa huku wakiimba nyimbo za kumpa kijana ujasiri kabla ya tohara
Mtaalam akiwa kazini na tayari kazi imeanza
Tendo hilo kiukweli mwili ulisimka sana na hapo nami nilitupa jiko kujua nn kinaendelea
Mkurya mkurya tu,kijana hata kutikisika hakuna
kama vile ndyo jamaa anaanza ebu cheki mtaalamu alivyoshika kisu
Yaani dogo alivyosimama hata mguu haukusogea mbele
Tayari jamaa kaisha punguza sehemu ya ngozi anavuta pumzi kutoa sehemu iliyosalia
Sherehe ilianza Mwanzo baada ya kijana kukamilisha moja ya mila ya Kikurya kijasiri
George Marato akiwa amebeba ngao ya kijana baada ya kuonuesha ushujaa katika tohara hiyo
Safi sana aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mwita Waryoba akiwa tayari katimiza nguzo ya Kikurya
Akina mama wakiserebuka baada ya kijana kuwa amefaulu hatua hiyo
Huu ndyo usafiri uliotufikisha Ryamisanga na kurudi Manisapaa ya Musoma Salama,Tunamshukuru Mungu
Mkurya mkurya tu hawezi kuacha asili,hapa George Marato akivalisha tayari kwa kuanza kucheza ngoma ya Kikurya
Wanasema kazi na dawa,hata gari ikitaka kuondoka lazima uchek mafuta kama yatakufikisha katika safari yako,Marato akinywa Maji tayari kwa kuingia uwanjani kucheza ngoma ya LITUNGU
No comments:
Post a Comment