Saturday, November 3, 2012

MBUNGE WA JIMBO LA RORYA KATIKA ZIARA YAKE YA KUTEMBELEA MIRADI ALIYOIJENGA KWA UFADHILI WAKE

 Mh Lameck Airo Mbunge wa Jimbo la Rorya akikagua Daraja lililojengwa kwa Ufadhili wake jimboni humo
 Moja ya jengo la Walimu alilolijenga katika Mh Lameck Airo,ambapo yote mawili yaligharimu kiasi cha Milioni  26
    Mh Lameck Airo akipata Maelekzo
  Watoto wa shule ya Msingi Utegi wakipata Mlo shuleni hapo
 Ukaguzi ukiendelea katika Daraja
  Moja ya Nyumba ya Walimu iliyojengwa na Mh Airo
   Mh Lameck Airo akiweka saini katika kitabu cha Kumbukumbu
 Mh alitupia maneno kidogo
 Usikuvu ulikuwa 100 kwa 100

No comments:

Post a Comment