Mh Lameck Airo Mbunge wa Jimbo la Rorya akikagua Daraja lililojengwa kwa Ufadhili wake jimboni humo
Moja ya jengo la Walimu alilolijenga katika Mh Lameck Airo,ambapo yote mawili yaligharimu kiasi cha Milioni 26
Mh Lameck Airo akipata Maelekzo
Watoto wa shule ya Msingi Utegi wakipata Mlo shuleni hapo
Ukaguzi ukiendelea katika Daraja
Moja ya Nyumba ya Walimu iliyojengwa na Mh Airo
Mh Lameck Airo akiweka saini katika kitabu cha Kumbukumbu
Mh alitupia maneno kidogo
Usikuvu ulikuwa 100 kwa 100
No comments:
Post a Comment